Syd.Khalifa akiikagua mitambo ya kuchimba Mafuta, Zanzibar pamoja naye ni M.M.Pennel wa Mkuu wa Kampuni ya Shell.
Kutafuta mafuta Zanzibar kumeanza mwaka 1957, ilitarajiwa kisima cha Chuwini peke yake kitachimbwa kufikia futi 12,000, ukiwachilia sehemu nyingine kama Charawe
Mtambo wa
kutafuta Mafuta Kisiwa cha Unguja
No comments:
Post a Comment